Kondakta (ambaye jina lake halikufahamika - kulia) wa Basi UDA lenye namba za usajili T 558 CVP akizungumza na mmoja wa abiria na kumuomba asubiri ili awapandishe kwenye gari nyingine la kampuni hiyo, baada ya gari hilo kugonga gari ndogo lenye namba za usajili wa T 498 DCU katika kipita shoto cha Samora na Azikiwe, jijini Dar es salaam leo.
Askari wa Usalama Barabarani wakiwa katika eneo la tukio
Askari wa Usalama Barabarani katikati akiongea na Dereva wa UDA.
Gari ndogo inavyoonekana baada ya kugongwa na UDA leo.(PICHA NA KHAMISI MUSSA)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...