Home
Unlabelled
MDAU AKIPUNGA UPEPO UFUKWENI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Acha ajipumzishe na kutafakari.....yaliyo mengi ni yenye kukera na kuudhi.....
ReplyDeleteViti vya Habib Punja vilivyojengwa pwani yote ya jiji la Enzi hizo la Dar-es-Salaam Tanzania ili watu wapumzike bado vipo? Habib Punja donated hundreds of concrete benches along the DaresSalaam sea shore for people to sit and enjoy the beautiful view of the Dar seafront.
ReplyDeleteKuna nadharia nyingi za uponyaji wa kisaiklojia kutoka kwa wana sayansi kunatokana na ukimya,upepo sauti ya mawimbi hata harufu ya bahari,hongera sana ndau sisi watu wa Tabata tunataman lakini tunashindwa sababu kubwa kwangu folen..ya magari barabaran
ReplyDelete