Home
Unlabelled
ushauri wa bure
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ni kweli pesa haiwezi kununua hayo yote, wazazi na jamii wanapashwa kuwekeza katika malezi na maadili, ndiyo tupate tabia nzuri, uaminifu, upendo, n.k
ReplyDeleteMoney can buy first class on a plane!
ReplyDelete"....until there is no first and second class citizens of a nation...."
Nakubaliana na jamaa hapo juu.Money cant buy everything, but man, money can buy a lot.There are circumstances where if you have money you live, and if you dont have money you die.
ReplyDeleteNionavyo mimi ni kuwa usiabudu pesa na weka utu mbele
Na kikubwa zaidi ya yote ambacho money can't buy is HAPPINESS. Wawezakuwa na kila kitu unachokitaka na utajiri wa kutosha, lakini kama huna furaha, amani na utulivu moyoni, yote ni kazi bure, Na uwe na mabilioni ya pesa, kamwe huwzi kununuwa 'Furaha'. Kwa mantiki hiyo, tufahamu ya kuwa, pesa sio msingi wa kila kitu na wala sio suluhu ya kila jambo, cha kuzingatia ni 'Utu' wa mtu, kuujali na kuuthamini, kipato ni matokeo kwa wenye kujaaliwa. Ni kheri ya masikini aliye huru, kuliko tajiri aliye mtumwa.
ReplyDelete