Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Yamungu Kayandabila pamoja na Kaimu Mthamini Mkuu wa Serikali Bi. Evelyin Mugashwa wakifuatilia taarifa ya viwango elekezi vya bei ya soko la Ardhi nchini katika mkutano na wataalam wa Uthamini Aprili 29, 2016.
Watalaam wa uthamini wa Serikali, Mashirika ya Umma na binafsi wakijali taarifa ya viwango elekezi vya bei ya soko la Ardhi nchini iliyowasilishwa kwao na ofisi ya mthamini mkuu wa Serikali Aprili 29, 2016.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...