Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu Maalum ya CCM Ikulu ndogo ya Chamwino mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli, Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete na Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana wakifurahia kabla ya kikao cha Kamati Kuu ya CCM. Picha na Bashir Nkoromo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...