TUNAOMBA RADHI KWA HABARI ILIYOTOKA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KWAMBA  MMEA WA ROZELA HAUFAI KWA MATUMIZI YA BINADAMU ILIKUWA SIO SAHIHI
Sampuli iliyochunguzwa na Mkemia mkuu wa serikali Lab no. 241|2013 kwa jina la Tanzaone Red Jea Juice ndio iliyochunguzwa na kuonekana kuwa haifai kwa matumizi ya binadamu na haina uhusiano wowote na Rozela na matumizi yake.
Akizungumza na waandishi wa habari Tabibu Mkuu wa Tanzaone  Dk.Marwa aliwaomba radhi wakala wa mkemia mkuu wa Serikali, watanzania wote na serikari kwa usumbufu walioupata kuhusu nukuu potofu ya habari kuhusu mmea wa Rozela kuwa haufai kwa bianamu.
Hata hivyo amesema Dawa Tanzaone Life Cell Cream kwa matumizi ya uzazi kwa akina  mama na Tanzaone Antviral kwa wongojwa wa HIV zilizo chunguzwa na mkemia mkuu zilionyesha kuwa zinafaa kwa matumizi ya binadamu.

Imetolewa na Tabibu Mkuu wa Tanzania Herbal 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...