Chopa iliyowabeba Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa pamoja na Mwenyekiti wake, Mh. Freeman Mbowe, ikitua kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Kashaulili, Mpanda Mkoani Katavi leo Septemba 3, 2015.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa pamoja na Mwenyekiti wake, Mh. Freeman Mbowe, wakiwasili kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Kashaulili, Mpanda Mkoani Katavi leo Septemba 3, 2015, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwapingia wananchi wa Mpanda, Mkoani Katavi.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman Mbowe, akihutubia kwenye Mkutano huo wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Kashaulili, Mpanda Mkoani Katavi leo Septemba 3, 2015.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akizungumza jambo na Mgombea wa nafasi ya Udiwani katika Kata ya Mtapenda, Bi. Pauline Pesnacy, mara baada ya kumnadi kwa wananchi wa Mpanda, waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Kashaulili, Mpanda Mkoani Katavi leo Septemba 3, 2015, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni na kunadi sera zake.
KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA AU BOFYA HAPA
KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA AU BOFYA HAPA
inakuwaje mgombea wa ubunge mbarali kupitia chadema anaruhusiwa kugombea wakati ni raia pia wa marekani. ameoa mmarekani na kuchukua uraia wa marekani. halafu anasema alikuwa anaishi na sasa amerudi nyumbani mbona katika matangazo yake ya kuomba hela anaweka account ya suntrust ya mareakni. wana mbarali muwe waangalifu na wana siasa wa namna hii. na tume ya uchaguzi inabidi itengue uwakilishi wake wa kugombea maana ni raia wa nchi nyingine na Tanzania haina uraia pacha!!!! kama anabisha tutawasilisha ushahidi kutoka DHS(Department of Home Security), hata mkienda ubalozi wa marekani wanawapa hizo taarifa,mgombea wa ccm kuwa makini na waeleze wana mbarali kuwa huyo kijana anawadanganya.
ReplyDelete