Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn wakifunua kitambaa katika jiwe la msingi kuzindua rasmi kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya kuua viluwiluwi vya mbu wanaoeneza Malaria kilichopo eneo la viwanda TAMCO kibaha,Mkoani Pwani leo.Kulia ni Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mgeni wake Waziri Mkuu wa Ethiopia wakiangalia uzalishaji wa viuadudu vya mbu wanaoeneza Malaria kilichopo eneo la viwanda TAMCO kibaha,Mkoani Pwani leo muda mfupi baada ya uzinduzi rasmi leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mgeni wake Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn muda mfupi kabla uzinduzi wa kiwanda cha kudhibiti malaria Mkoani Pwani leo. Picha na Freddy Maro.
Kusoma hotuba ya Rais Kikwete BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 02, 2015

    big up, mr. president!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 02, 2015

    Hii inamaanisha malaria karibu yatakuwa historia?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 02, 2015

    picha ya tatu inamwonyesha JK akimwonyesa Hailemarium palee ndio mimi ninaishi.....?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...