mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe kulia akiwa na mlemavu wa ngozi (ALBINO) mara baada ya kumaliza mkutano wake wa kampeni za ubunge
Na Matukiodaima Blog Ludewa
WAKATI
wanachama wa chama cha mapinduzi (CCM) kesho wanashiriki zoezi la
kupiga kura za maoni kuwapata madiwani na wagombea watakao gombea
kwa CCM ,mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amewashukuru
wanachama wa CCM katika jimbo hilo kwa kuonyeha imani kubwa kwake
ukilinganisha na wagombea wenzake wawili na kuwa hadi sasa anauhakika
mkubwa wa kushinda tena ila ushindi utakaompa heshima ni ule wa kupata
kura zote na wenzake kuambulia patupu
Filikunjombe
aliyasema hayo wakati wa mkutano wa kujinadi kwa wagombea wa
nafasi ya ubunge katioka kata ya Ludewa mjini ,kuwa hadi sasa kutokana
na mapokeo ya wananchi na wana CCM kote walikopata kupita kwenye kata
26 za jimbo hilo la Ludewa wamekuwa wakitamka bayana kuwa kura zote
kwake hivyo kuwaomba wana CCM kwa umoja wao kumpa moyo zaidi wa
kuwatumikia tena kwa kuhakikisha wanampatia kura zote za ndio.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...