Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Kitabibu na Kitaalam wa NHIF,Dkt. Aifena Mramba (kulia) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) wakati akizungumzia juu ya huduma ya madaktari bingwa katika mikoa ya pembezoni.Kushoto ni Meneja Masoko na Elimu kwa Umma wa NHIF,Angela Mziray.

Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unatarajia kupeleka madaktari bingwa katika mikoa ya pembezoni kwa ajili ya kutoa huduma za kitaalam kwa wakazi wa maeneo hayo.

Kupeleka kwa madaktari hao kunatokana na kuwepo kwa sababu mbalimbali zikiwemo za uchache wa madaktari hao,umbali wa hospitali kubwa zenye huduma hiyo au changamoto za Kijiografia zinazozuia kufika kirahisi pamoja na za kimiundombinu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...