Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii (TTB) Bi. Devota Mdachi akiongea katika hafla maalum ya kutangaza vivutio vya utalii kwa soko la Marekani katika Hoteli ya Four Seasons jijini Las Vegas.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhelm Meru (kulia) akiwa pamoja na Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa katika hafla maalum ya kutangaza vivutio vya utalii nchini kwa soko la Marekani.
Kazi ya kutangaza utalii inatakiwa itekelezwe na professional promotion experts ambao watakuwa wanapata maelekezo toka wizara ya utalii. Lakini hapa naona utekelezaji unafanywa na wanasiasa na wafanyakazi wa serikali. Business does not work like that. Business sio siasa, its time we learn this if we are to compete in the world market.
ReplyDelete