Katibu
tawala wa mkoa wa Kilimanjaro Seveline Kahitwa akiwa ameshika bendera
kuashiria uzinduzi wa msimu wa 13 wa mbio za kimataifa za Kilimanjaro
Marathoni,Uzinduzi uliofanyika Hotel ya Kibo Homes,Wengine ni Viongozi
katika kampuni ambazo zimejitkeza kudhamini mbio hizo
Katibu tawala wa
mkoa wa Kilimanjaro Seveline Kahitwa akizungumza wakati wa hafla fupi
ya uzinduzi wa msimu wa 13 wa mbio
za kimataifa za Kilimanjaro
Marathoni,Uzinduzi uliofanyika Hotel ya Kibo
Homes,
Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager
Pamela Kikuli ambao ndio wadhamini wakuu wa Mbio za Kilimanjaro
Marathoni 2015 ,akizungumza wakati wa uzinduzi wa msimu wa 13 wa mbio
hizo uliofanyika Hotel ya Kibo Homes mjini Moshi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...