Home
Unlabelled
Mwisho wa lami barabara ya Kondoa-Babati
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ankal
ReplyDeleteShukrani kwa taarifa hii, ambayo imenikumbusha mbali. Babati nimefika mara tatu na wanafunzi wangu katika kozi niliyotunga juu ya mwandishi Ernest Hemingway.
Hemingway alipita Babati na Kondoa, akielekea Tanga. Panapo majaliwa, nitakapokuja na msafara wa wanafunzi tena, hatutaishia Babati, bali napangia kupitiliza hadi Kondoa.
Anayetaka kufahamu angalau kidogo jinsi Hemingway alivyoandika kuhusu sehemu zote hizo, asome kitabu chake kiitwacho "Green Hills of Africa."