Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 
Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 31, 2014

    Tuzo hii ni heshima kwa taifa. Tunapotengeza Katiba na kuelekea kwenye uchaguzi ni fursa nyingine ya kuimarisha demokrasia.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 31, 2014

    Demokrasia kama anayo rais wetu basi chama chake hawana,na kama anaielewa basi basi maoni yake kuhusu katiba mpya aliyoyatoa bungeni hakuzingatia uhuru wa wengi ambayo ndio suluhisho yale yalikuwa mawazo yake binafsi na angeliweza hata kuyatoa akiwa ikulu au kwake kumwambia jaji warioba na kamati yake.

    kufanya vile katumia cheo na madaraka ya kiti cha urais katika bunge maalum sio utaratibu unaokubalika katika kutafuta katiba iliyo huru kwa maslahi ya nchi.

    ndio maana mimi binafsi naelewa kuwa utaratibu mzima wa kutafuta wajumbe kwa kuwatumia wabunge/wawakilishi na wale waliochaguliwa na rais nilielewa kuwa hakuna katiba huru hapa ikiwa wajumbe wengi ni wakereketwa.

    tungelitafuta wanasheria,wananchi wa kawaida sio viongozi,wakuu wa dini zote,na mashirika yasio ya serekali unapowahusisha watawala katika kuleta mabadiliko au marekebisho au maboresho yoyote ujue wazi au mapema kuwa hayo yatafanyika ikiwa yataweka mbele matakwa ya wanaotawala sio wanaotawaliwa.
    hongera mheshimiwa rais kwa kupata tunzo muhimu tatizo uko chama sicho.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...